Zaburi 135:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu,+Kazi ya mikono ya mtu wa udongo.+ Danieli 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wakanywa divai, wakaisifu miungu ya dhahabu na fedha, shaba, chuma, miti na mawe.+ 1 Wakorintho 8:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana hata ingawa kuna wale wanaoitwa “miungu,”+ iwe wako mbinguni+ au duniani,+ kama vile kulivyo na “miungu” mingi na “mabwana” wengi,+
5 Kwa maana hata ingawa kuna wale wanaoitwa “miungu,”+ iwe wako mbinguni+ au duniani,+ kama vile kulivyo na “miungu” mingi na “mabwana” wengi,+