Waamuzi 16:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na ikawa kwamba kwa kuwa moyo wao ulikuwa na furaha,+ wakaanza kusema: “Mwite Samsoni apate kututumbuiza.”+ Basi wakamwita Samsoni kutoka katika ile nyumba ya gereza apate kucheza mbele yao;+ nao wakamsimamisha katikati ya nguzo.
25 Na ikawa kwamba kwa kuwa moyo wao ulikuwa na furaha,+ wakaanza kusema: “Mwite Samsoni apate kututumbuiza.”+ Basi wakamwita Samsoni kutoka katika ile nyumba ya gereza apate kucheza mbele yao;+ nao wakamsimamisha katikati ya nguzo.