Mwanzo 29:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Yehova alipoona kwamba Lea alichukiwa, ndipo akafungua tumbo lake la uzazi,+ lakini Raheli alikuwa tasa.+ 1 Samweli 1:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Ilikuwa kuhusu mvulana huyu kwamba nilisali ili Yehova anipe ombi+ langu nililomwomba.+ Zaburi 127:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Tazama! Wana ni urithi kutoka kwa Yehova;+Uzao wa tumbo ni thawabu.+
31 Yehova alipoona kwamba Lea alichukiwa, ndipo akafungua tumbo lake la uzazi,+ lakini Raheli alikuwa tasa.+