Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naye akaweka nadhiri,+ akisema: “Ee Yehova wa majeshi, ikiwa hakika utayaona mateso ya kijakazi+ wako, nawe kwa kweli unikumbuke,+ na ikiwa hutamsahau kijakazi wako na kwa kweli umpe kijakazi wako uzao wa kiume, mimi nitamtoa kwa Yehova siku zote za maisha yake, wala wembe hautapita juu ya kichwa chake.”+

  • 1 Samweli 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ndipo Eli akajibu na kusema: “Nenda kwa amani,+ naye Mungu wa Israeli akupe ombi lako ambalo umemwomba.”+

  • Zaburi 66:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa kweli Mungu amesikia;+

      Ameisikiliza sauti ya sala yangu.+

  • Mathayo 7:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Endeleeni kuomba,+ nanyi mtapewa; endeleeni kutafuta, nanyi mtapata; endeleeni kupiga hodi,+ nanyi mtafunguliwa.

  • 1 Yohana 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Zaidi ya hayo, tukijua kwamba yeye hutusikia kwa habari ya jambo lolote tunaloomba,+ tunajua tutapata mambo yaliyoombwa kwa kuwa tumeyaomba kwake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki