22 “‘Na wakati mnapovuna mavuno ya nchi yenu, hutamaliza kabisa ukingo wa shamba lako unapovuna, na masalio ya mavuno yako hutaokota.+ Utayaacha kwa ajili ya watu wenye kuteseka+ na mkaaji mgeni.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.’”
2 Baada ya muda Ruthu yule mwanamke Mmoabu akamwambia Naomi: “Tafadhali, acha niende shambani nikaokote masalio+ katikati ya masuke ya nafaka nyuma ya yeyote yule nitakayepata kibali machoni pake.” Basi akamwambia: “Nenda, binti yangu.”