16 Naye Ruthu akasema: “Usiniombe nikuache, nigeuke nisifuatane nawe; kwa maana uendako nitaenda, na mahali utakapokaa usiku kucha nitakaa.+ Watu wako watakuwa watu wangu,+ na Mungu wako Mungu wangu.+
11 Basi sasa, binti yangu, usiogope. Yote utakayosema nitakufanyia,+ kwa maana kila mtu aliye katika lango la watu wangu anajua kwamba wewe ni mwanamke bora sana.+