Waamuzi 19:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi wakaketi, na wote wawili wakaanza kula na kunywa pamoja; kisha baba ya yule mwanamke kijana akamwambia yule mwanamume: “Kubali, tafadhali, kulala usiku kucha,+ na acha moyo wako uchangamke.”+ Zaburi 104:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na divai ambayo hufanya moyo wa mwanadamu anayeweza kufa ushangilie,+Kuufanya uso ung’ae kwa mafuta,+Na mkate unaotegemeza moyo wa mwanadamu anayeweza kufa.+ Mhubiri 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 na pia kwamba kila mtu ale, naam, anywe na kuona mema kwa ajili ya kazi yake yote iliyo ngumu.+ Hiyo ndiyo zawadi ya Mungu.+ Mhubiri 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mkate ni kwa ajili ya kicheko cha wafanyakazi, na divai hufanya maisha yafurahishe;+ lakini pesa ndizo hutokeza jibu katika mambo yote.+
6 Basi wakaketi, na wote wawili wakaanza kula na kunywa pamoja; kisha baba ya yule mwanamke kijana akamwambia yule mwanamume: “Kubali, tafadhali, kulala usiku kucha,+ na acha moyo wako uchangamke.”+
15 Na divai ambayo hufanya moyo wa mwanadamu anayeweza kufa ushangilie,+Kuufanya uso ung’ae kwa mafuta,+Na mkate unaotegemeza moyo wa mwanadamu anayeweza kufa.+
13 na pia kwamba kila mtu ale, naam, anywe na kuona mema kwa ajili ya kazi yake yote iliyo ngumu.+ Hiyo ndiyo zawadi ya Mungu.+
19 Mkate ni kwa ajili ya kicheko cha wafanyakazi, na divai hufanya maisha yafurahishe;+ lakini pesa ndizo hutokeza jibu katika mambo yote.+