-
Waamuzi 19:9Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
9 Ndipo yule mwanamume+ akasimama ili aende, yeye pamoja na suria+ wake na mtumishi+ wake; lakini baba-mkwe wake, baba ya yule mwanamke kijana, akamwambia: “Tazama, sasa! Mchana umesonga kuelekea kuwa jioni. Tafadhali, laleni usiku kucha.+ Tazama mchana unakaribia mwisho wake. Lala hapa usiku kucha, na acha moyo wako uchangamke.+ Nanyi kesho mwamke mapema kwa ajili ya safari yenu, nawe uende hemani kwako.”
-