1 Samweli 18:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi Sauli akawa akimtilia Daudi shaka tangu siku hiyo na kuendelea.+ Zaburi 37:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mwovu anampangia hila mwadilifu,+Naye anamsagia meno yake.+ Methali 27:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kuna ukatili wa ghadhabu, pia furiko la hasira,+ lakini ni nani anayeweza kusimama mbele ya wivu?+