Kutoka 23:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Mara tatu kwa mwaka utanifanyia sherehe.+ 1 Samweli 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na mtu huyo akawa akipanda kutoka jiji lake mwaka baada ya mwaka ili kusujudu+ na kutoa dhabihu kwa Yehova wa majeshi huko Shilo.+ Na hapo ndipo wana wawili wa Eli, Hofni na Finehasi,+ walikuwa makuhani kwa Yehova.+ 1 Samweli 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Baada ya muda yule mtu, Elkana, akapanda pamoja na nyumba yake yote kwenda kumtolea Yehova dhabihu+ ya kila mwaka na toleo lake la nadhiri.+
3 Na mtu huyo akawa akipanda kutoka jiji lake mwaka baada ya mwaka ili kusujudu+ na kutoa dhabihu kwa Yehova wa majeshi huko Shilo.+ Na hapo ndipo wana wawili wa Eli, Hofni na Finehasi,+ walikuwa makuhani kwa Yehova.+
21 Baada ya muda yule mtu, Elkana, akapanda pamoja na nyumba yake yote kwenda kumtolea Yehova dhabihu+ ya kila mwaka na toleo lake la nadhiri.+