1 Samweli 21:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Baadaye Daudi akafika Nobu+ kwa Ahimeleki+ kuhani; naye Ahimeleki akaanza kutetemeka alipokutana na Daudi, kisha akamwambia: “Kwa nini uko peke yako, wala hakuna yeyote aliye pamoja nawe?”+ 1 Samweli 22:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndipo Doegi+ Mwedomu, aliyekuwa juu ya watumishi wa Sauli, akajibu na kusema: “Nilimwona mwana wa Yese akija Nobu kwa Ahimeleki+ mwana wa Ahitubu.+
21 Baadaye Daudi akafika Nobu+ kwa Ahimeleki+ kuhani; naye Ahimeleki akaanza kutetemeka alipokutana na Daudi, kisha akamwambia: “Kwa nini uko peke yako, wala hakuna yeyote aliye pamoja nawe?”+
9 Ndipo Doegi+ Mwedomu, aliyekuwa juu ya watumishi wa Sauli, akajibu na kusema: “Nilimwona mwana wa Yese akija Nobu kwa Ahimeleki+ mwana wa Ahitubu.+