1 Samweli 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 (Na Ahiya mwana wa Ahitubu,+ ndugu ya Ikabodi,+ mwana wa Finehasi,+ mwana wa Eli,+ kuhani wa Yehova katika Shilo,+ alikuwa ameibeba efodi.)+ Nao watu hawakujua kwamba Yonathani alikuwa ameenda. 1 Samweli 22:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hata hivyo, mwana mmoja wa Ahimeleki mwana wa Ahitubu, ambaye jina lake lilikuwa Abiathari,+ akaponyoka, akakimbia amfuate Daudi.
3 (Na Ahiya mwana wa Ahitubu,+ ndugu ya Ikabodi,+ mwana wa Finehasi,+ mwana wa Eli,+ kuhani wa Yehova katika Shilo,+ alikuwa ameibeba efodi.)+ Nao watu hawakujua kwamba Yonathani alikuwa ameenda.
20 Hata hivyo, mwana mmoja wa Ahimeleki mwana wa Ahitubu, ambaye jina lake lilikuwa Abiathari,+ akaponyoka, akakimbia amfuate Daudi.