12 Na wana wa Israeli hawataweza kusimama juu ya adui zao.+ Watawageuzia mgongo adui zao, kwa sababu wamekuwa kitu kilichotengwa kwa ajili ya kuharibiwa. Sitakuwa pamoja nanyi tena isipokuwa mharibu kutoka katikati yenu kitu kilichotengwa kwa ajili ya kuharibiwa.+