1 Mambo ya Nyakati 16:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mhesabieni Yehova, enyi familia za vikundi vya watu,Mhesabieni Yehova utukufu na nguvu.+ Zaburi 18:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Kwa kusikia fununu tu watanitii;+Wageni watanijia wakitetemeka.+ Isaya 42:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nao wamhesabie Yehova utukufu,+ nao watangaze sifa zake katika visiwa.+