Luka 18:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ndipo akaendelea kuwaambia mfano juu ya uhitaji wao wa kusali sikuzote bila kukata tamaa,+ Wakolosai 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Endeleeni kudumu katika sala,+ mkikaa macho katika hiyo pamoja na kutoa shukrani,+ 1 Wathesalonike 5:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Salini bila kuacha.+