20 Hivyo Daudi akaamka asubuhi na mapema, akawaacha kondoo mkononi mwa mtunzaji, akavichukua vitu vile, akaenda kama Yese alivyokuwa amemwamuru.+ Alipofika kwenye uwanja wa kambi,+ majeshi yalikuwa yakienda katika uwanja wa mapigano,+ nao wakapiga kelele za vita.