2 Na Wafilisti wakajipanga+ ili kukutana na Israeli, na pigano hilo likaenda vibaya, hivi kwamba Israeli wakashindwa mbele ya Wafilisti,+ ambao waliwapiga na kuwaua karibu watu elfu nne katika pigano uwanjani.
3 Lakini watu wa Daudi wakamwambia: “Tazama! tunaogopa tukiwa hapa katika Yuda,+ nasi tukienda Keila kupigana na vikosi vya Wafilisti tutaogopa hata zaidi!”+