Methali 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Jibu, linapokuwa la upole, hugeuza ghadhabu,+ lakini neno linaloumiza hufanya hasira ipande.+ 1 Petro 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 msilipe ubaya kwa ubaya+ au matukano kwa matukano,+ bali, kinyume chake, mkitoa baraka,+ kwa sababu mliitwa kwenye mwendo huu, ili mrithi baraka.
9 msilipe ubaya kwa ubaya+ au matukano kwa matukano,+ bali, kinyume chake, mkitoa baraka,+ kwa sababu mliitwa kwenye mwendo huu, ili mrithi baraka.