Hesabu 13:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Lakini wale watu waliopanda pamoja naye wakasema: “Hatuwezi kupanda kupigana na watu hao, kwa sababu ni wenye nguvu kuliko sisi.”+ Kumbukumbu la Torati 9:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 watu wakubwa na warefu, wana wa Waanaki,+ ambao umejua na kusikia ikisemwa juu yao, ‘Ni nani anayeweza kusimama imara mbele ya wana wa Anaki?’
31 Lakini wale watu waliopanda pamoja naye wakasema: “Hatuwezi kupanda kupigana na watu hao, kwa sababu ni wenye nguvu kuliko sisi.”+
2 watu wakubwa na warefu, wana wa Waanaki,+ ambao umejua na kusikia ikisemwa juu yao, ‘Ni nani anayeweza kusimama imara mbele ya wana wa Anaki?’