1 Samweli 17:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Lakini Sauli akamwambia Daudi: “Wewe huwezi kwenda juu ya huyu Mfilisti kupigana naye,+ kwa maana wewe ni mvulana tu,+ naye ni mwanamume wa vita tangu uvulana wake.”
33 Lakini Sauli akamwambia Daudi: “Wewe huwezi kwenda juu ya huyu Mfilisti kupigana naye,+ kwa maana wewe ni mvulana tu,+ naye ni mwanamume wa vita tangu uvulana wake.”