24 Na watu wa Israeli walikuwa wamebanwa sana siku hiyo, na bado Sauli akawaapisha watu,+ akisema: “Alaaniwe mtu yeyote atakayekula mkate kabla ya jioni na mpaka niwe nimejilipiza kisasi+ juu ya adui zangu!” Na hakuna yeyote kati ya watu aliyeonja mkate.+