1 Samweli 16:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa hiyo Daudi akamjia Sauli na kumtumikia;+ naye akampenda sana, kisha akawa mchukua-silaha wake.+ 1 Samweli 18:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ndipo Sauli akamchukua siku hiyo, naye hakumruhusu arudi nyumbani kwa baba yake.+ 1 Samweli 18:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa hiyo Sauli akamwondoa katika ushirika wake,+ akamweka kuwa mkuu wa watu elfu kwa ajili yake; naye akatoka na kuingia kwa ukawaida mbele ya watu.+
21 Kwa hiyo Daudi akamjia Sauli na kumtumikia;+ naye akampenda sana, kisha akawa mchukua-silaha wake.+
13 Kwa hiyo Sauli akamwondoa katika ushirika wake,+ akamweka kuwa mkuu wa watu elfu kwa ajili yake; naye akatoka na kuingia kwa ukawaida mbele ya watu.+