Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 8:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naye akasema: “Hili ndilo litakalokuwa fungu ambalo ni haki+ ya mfalme atakayetawala juu yenu: Atawachukua wana wenu+ na kuwaweka kama wanawe katika magari+ yake na kati ya wapanda-farasi+ wake, na baadhi yao watakimbia mbele ya magari+ yake;

  • 1 Samweli 16:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Basi Sauli akatuma watu kwa Yese, akisema: “Tafadhali, acha Daudi aendelee kunitumikia, kwa kuwa amepata kibali machoni pangu.”

  • 1 Samweli 17:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Naye Daudi alikuwa akienda na kurudi kutoka kwa Sauli ili kuchunga kondoo+ za baba yake katika Bethlehemu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki