17 Ndipo wana wa Israeli wakaondoka na kwenda katika majiji ya watu hao siku ya tatu, na majiji yao yalikuwa Gibeoni+ na Kefira+ na Beerothi+ na Kiriath-yearimu.+
27 Basi Yoshua akawafanya+ siku hiyo kuwa wakusanyaji wa kuni na watekaji wa maji kwa ajili ya kusanyiko+ na kwa ajili ya madhabahu ya Yehova, mpaka leo hii, mahali ambapo angechagua.+