21 Kisha akafanya kabila la Benyamini likaribie kulingana na familia zao, ndipo familia ya Wamatri ikachaguliwa.+ Mwishowe Sauli mwana wa Kishi akachaguliwa.+ Nao wakamtafuta, lakini hakupatikana.
29 Na wa wana wa Benyamini,+ ndugu za Sauli,+ walikuwa 3,000, na mpaka wakati huo hesabu iliyo kubwa kati yao walikuwa wakiilinda kwa makini nyumba ya Sauli.