26 Nawe utatoa pesa hizo kwa ajili ya chochote ambacho nafsi yako itatamani+ kati ya ng’ombe na kondoo na mbuzi na divai na kileo+ na kitu chochote ambacho huenda nafsi yako ikakuomba; nawe utakula huko mbele za Yehova Mungu wako na kushangilia,+ wewe na nyumba yako.