5 Na wana wa Rimoni Mbeerothi, Rekabu na Baana, wakaenda na kufika katika nyumba ya Ish-boshethi+ mchana, wakati ambapo kulikuwa na joto jingi, alipokuwa analala usingizi wa mchana.
32 basi na usikie ukiwa mbinguni, nawe utende na kuwahukumu watumishi wako kwa kumtangaza yule mwovu kuwa mwovu kwa kutia njia yake juu ya kichwa chake mwenyewe,+ na kwa kumtangaza mwadilifu+ kuwa mwadilifu kwa kumpa kulingana na uadilifu wake.+