Waamuzi 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka juu ya Israeli,+ akawatia mikononi mwa waporaji, nao wakaanza kuwapora;+ naye akawauza mkononi mwa adui zao waliowazunguka pande zote,+ wala hawakuweza tena kusimama mbele ya adui zao.+ Waamuzi 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nao wakaendelea kutumika kama vyombo vya kujaribu+ Israeli ili kujua kama wangetii amri za Yehova ambazo alikuwa ameamuru baba zao kupitia Musa.+ Zaburi 89:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hakuna adui atakayemdai chochote,+Wala hakuna mwana wa uovu atakayemtesa.+
14 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka juu ya Israeli,+ akawatia mikononi mwa waporaji, nao wakaanza kuwapora;+ naye akawauza mkononi mwa adui zao waliowazunguka pande zote,+ wala hawakuweza tena kusimama mbele ya adui zao.+
4 Nao wakaendelea kutumika kama vyombo vya kujaribu+ Israeli ili kujua kama wangetii amri za Yehova ambazo alikuwa ameamuru baba zao kupitia Musa.+