1 Mambo ya Nyakati 18:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Tena, Daudi akazichukua zile ngao za mviringo+ za dhahabu zilizokuwa kwa watumishi wa Hadadezeri, akazileta Yerusalemu.+ Luka 11:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Lakini mtu fulani mwenye nguvu+ zaidi yake anapokuja juu yake na kumshinda,+ yeye huchukua silaha zake zote alizokuwa akitegemea, naye hugawanya vitu ambavyo yeye alimpora.
7 Tena, Daudi akazichukua zile ngao za mviringo+ za dhahabu zilizokuwa kwa watumishi wa Hadadezeri, akazileta Yerusalemu.+
22 Lakini mtu fulani mwenye nguvu+ zaidi yake anapokuja juu yake na kumshinda,+ yeye huchukua silaha zake zote alizokuwa akitegemea, naye hugawanya vitu ambavyo yeye alimpora.