11 Na itatukia kwamba ikiwa litakutolea jibu la amani nalo limekufungulia, itatukia pia kwamba watu wote watakaopatikana ndani yake watakuwa wako kwa ajili ya kazi ya kulazimishwa, nao watakutumikia.+
4 Na eneo lenu litakuwa kutoka nyika hii na huu mlima Lebanoni mpaka ule mto mkubwa, mto Efrati, yaani, nchi yote ya Wahiti,+ na mpaka kwenye ile Bahari Kuu upande wa magharibi.+