2 Samweli 8:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na Yoabu+ mwana wa Seruya alikuwa juu ya jeshi; na Yehoshafati+ mwana wa Ahiludi alikuwa karani. 2 Samweli 20:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na Yoabu alikuwa juu ya jeshi+ lote la Israeli; na Benaya+ mwana wa Yehoyada+ alikuwa juu ya Wakerethi+ na juu ya Wapelethi.+ 1 Wafalme 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Naye akashirikiana na Yoabu mwana wa Seruya na Abiathari+ kuhani, nao wakaanza kumsaidia wakiwa wafuasi wa Adoniya.+
23 Na Yoabu alikuwa juu ya jeshi+ lote la Israeli; na Benaya+ mwana wa Yehoyada+ alikuwa juu ya Wakerethi+ na juu ya Wapelethi.+
7 Naye akashirikiana na Yoabu mwana wa Seruya na Abiathari+ kuhani, nao wakaanza kumsaidia wakiwa wafuasi wa Adoniya.+