Methali 14:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Mtu asiye na uzoefu huamini kila neno,+ lakini mtu mwerevu huzifikiria hatua zake.+ Methali 25:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Utukufu wa Mungu ni kuweka jambo kuwa siri,+ nao utukufu wa wafalme ni kuchunguza jambo kabisa.+