2 Samweli 17:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na Daudi akaja Mahanaimu,+ naye Absalomu akavuka Yordani, yeye na watu wote wa Israeli pamoja naye. 2 Samweli 19:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Na Barzilai alikuwa mzee sana, akiwa na umri wa miaka 80;+ naye alimwandalia mfalme chakula alipokuwa akikaa Mahanaimu,+ kwa maana alikuwa mwanamume mkuu+ sana.
24 Na Daudi akaja Mahanaimu,+ naye Absalomu akavuka Yordani, yeye na watu wote wa Israeli pamoja naye.
32 Na Barzilai alikuwa mzee sana, akiwa na umri wa miaka 80;+ naye alimwandalia mfalme chakula alipokuwa akikaa Mahanaimu,+ kwa maana alikuwa mwanamume mkuu+ sana.