33 Ndipo mfalme akahuzunika, akaenda juu katika chumba cha dari+ juu ya njia ya lango, akaanza kulia; naye alisema hivi akiwa anatembea: “Mwanangu Absalomu, mwanangu, mwanangu+ Absalomu! Laiti mimi mwenyewe ningekufa badala yako, Absalomu mwanangu, mwanangu!”+