Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 12:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na sasa upanga+ hautaondoka nyumbani mwako mpaka wakati usio na kipimo,+ kwa sababu ulinidharau mimi, ukamchukua mke wa Uria Mhiti, awe mke wako.’

  • 2 Samweli 17:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo Absalomu na watu wote wa Israeli wakasema: “Shauri la Hushai Mwarki ni bora+ kuliko shauri la Ahithofeli!” Na Yehova alikuwa ametoa amri+ shauri la Ahithofeli livunjwe+ ingawa lilikuwa jema,+ ili Yehova alete msiba+ juu ya Absalomu.

  • Methali 10:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Methali za Sulemani.+

      Mwana mwenye hekima ndiye anayemfanya baba ashangilie,+ naye mwana mjinga ni huzuni ya mama yake.+

  • Methali 19:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mwana mjinga humaanisha shida kwa baba yake,+ na ugomvi wa mke ni kama paa inayovuja ambayo humfukuzia mbali mtu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki