29 Naye Ahabu mwana wa Omri alikuwa mfalme juu ya Israeli katika mwaka wa 38 wa Asa mfalme wa Yuda; na Ahabu mwana wa Omri akaendelea kutawala juu ya Israeli katika Samaria+ kwa miaka 22.
25 Hakuna kamwe mtu yeyote ambaye amepata kuwa kama Ahabu,+ aliyejiuza ili kufanya yaliyo mabaya machoni pa Yehova, ambaye Yezebeli+ mke wake alimchochea.+