24 Naye akanunua mlima wa Samaria kutoka kwa Shemeri kwa talanta mbili za fedha, naye akaanza kujenga juu ya huo mlima na kuita jina la jiji alilolijenga Samaria,+ kulingana na jina la Shemeri bwana wa ule mlima.
10 Sasa Ben-hadadi akatuma watu kwake na kusema: “Miungu+ na inifanyie hivyo, nayo izidishe jambo hilo,+ ikiwa mavumbi ya Samaria yatatosha mikono ya watu wote wanaonifuata!”+