Mwanzo 31:54 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 54 Baada ya hayo Yakobo akachinja dhabihu katika huo mlima na kuwaalika ndugu zake wale mkate.+ Basi wakala mkate na kukaa usiku huo mlimani. Esta 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 katika mwaka wa tatu wa utawala wake alifanya karamu+ kwa ajili ya wakuu wake na watumishi wake wote, jeshi la Uajemi+ na Umedi,+ watu wenye vyeo+ na kwa ajili ya wakuu wa wilaya za utawala mbele yake.+ Danieli 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mfalme Belshaza+ naye alifanya karamu kwa ajili ya wakuu wake elfu, naye akanywa divai mbele ya hao elfu.+
54 Baada ya hayo Yakobo akachinja dhabihu katika huo mlima na kuwaalika ndugu zake wale mkate.+ Basi wakala mkate na kukaa usiku huo mlimani.
3 katika mwaka wa tatu wa utawala wake alifanya karamu+ kwa ajili ya wakuu wake na watumishi wake wote, jeshi la Uajemi+ na Umedi,+ watu wenye vyeo+ na kwa ajili ya wakuu wa wilaya za utawala mbele yake.+
5 Mfalme Belshaza+ naye alifanya karamu kwa ajili ya wakuu wake elfu, naye akanywa divai mbele ya hao elfu.+