Waroma 13:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wapeni wote haki zao, yeye anayetaka kodi, kodi;+ yeye anayetaka ushuru, ushuru; yeye anayetaka woga, woga+ huo; yeye anayetaka heshima, heshima+ hiyo. 1 Petro 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Waheshimuni watu wa namna zote,+ upendeni ushirika mzima wa akina ndugu,+ mwogopeni Mungu,+ mheshimuni mfalme.+
7 Wapeni wote haki zao, yeye anayetaka kodi, kodi;+ yeye anayetaka ushuru, ushuru; yeye anayetaka woga, woga+ huo; yeye anayetaka heshima, heshima+ hiyo.
17 Waheshimuni watu wa namna zote,+ upendeni ushirika mzima wa akina ndugu,+ mwogopeni Mungu,+ mheshimuni mfalme.+