Mwanzo 1:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mungu akaendelea kusema: “Dunia+ na itokeze nafsi zilizo hai kulingana na aina zake, mnyama wa kufugwa+ na mnyama anayetambaa+ na mnyama-mwitu+ wa dunia kulingana na aina yake.” Ikawa hivyo. Methali 30:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 simba, ambaye ndiye mwenye nguvu zaidi kati ya wanyama na wala harudi nyuma mbele ya yeyote;+
24 Mungu akaendelea kusema: “Dunia+ na itokeze nafsi zilizo hai kulingana na aina zake, mnyama wa kufugwa+ na mnyama anayetambaa+ na mnyama-mwitu+ wa dunia kulingana na aina yake.” Ikawa hivyo.