Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 1:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Mungu akaendelea kusema: “Maji na yajawe na nafsi hai+ na viumbe vinavyoruka viruke juu ya dunia kwenye uso wa anga la mbingu.”+

  • Ayubu 12:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Hata hivyo, tafadhali uliza wanyama wa kufugwa, nao watakufundisha;+

      Pia viumbe vya mbinguni vyenye mabawa, navyo vitakuambia.+

  • Methali 7:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 mpaka mshale upasue ini lake,+ kama vile ndege anavyofanya haraka kuingia mtegoni,+ naye hajajua kwamba nafsi yake mwenyewe inahusika.+

  • Methali 30:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 njia ya tai mbinguni, njia ya nyoka juu ya mwamba, njia ya meli katika moyo wa bahari+ na njia ya mwanamume pamoja na mwanamwali.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki