Mwanzo 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Mungu akaendelea kusema: “Maji na yajawe na nafsi hai+ na viumbe vinavyoruka viruke juu ya dunia kwenye uso wa anga la mbingu.”+ Ayubu 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hata hivyo, tafadhali uliza wanyama wa kufugwa, nao watakufundisha;+Pia viumbe vya mbinguni vyenye mabawa, navyo vitakuambia.+ Methali 7:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 mpaka mshale upasue ini lake,+ kama vile ndege anavyofanya haraka kuingia mtegoni,+ naye hajajua kwamba nafsi yake mwenyewe inahusika.+ Methali 30:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 njia ya tai mbinguni, njia ya nyoka juu ya mwamba, njia ya meli katika moyo wa bahari+ na njia ya mwanamume pamoja na mwanamwali.+
20 Mungu akaendelea kusema: “Maji na yajawe na nafsi hai+ na viumbe vinavyoruka viruke juu ya dunia kwenye uso wa anga la mbingu.”+
7 Hata hivyo, tafadhali uliza wanyama wa kufugwa, nao watakufundisha;+Pia viumbe vya mbinguni vyenye mabawa, navyo vitakuambia.+
23 mpaka mshale upasue ini lake,+ kama vile ndege anavyofanya haraka kuingia mtegoni,+ naye hajajua kwamba nafsi yake mwenyewe inahusika.+
19 njia ya tai mbinguni, njia ya nyoka juu ya mwamba, njia ya meli katika moyo wa bahari+ na njia ya mwanamume pamoja na mwanamwali.+