Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Tena akaendelea kujenga nyumba ile ili aikamilishe,+ na kufunika ndani ya nyumba ile kwa nguzo na safu za mbao za mierezi.+

  • 1 Wafalme 6:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na kile chumba cha ndani kabisa kilikuwa na urefu wa mikono 20, na upana wa mikono 20,+ na kimo cha mikono 20; naye akakifunika kwa dhahabu safi,+ na kuifunika madhabahu+ kwa mbao za mwerezi.

  • 2 Mambo ya Nyakati 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nawe uniletee mierezi,+ miberoshi+ na misandali+ kutoka Lebanoni,+ kwa maana mimi najua vema kwamba watumishi wako wana uzoefu wa kukata miti ya Lebanoni,+ (na, tazama, watumishi wangu wako pamoja na watumishi wako,)

  • Zaburi 104:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Miti ya Yehova imeshiba,

      Mierezi ya Lebanoni ambayo aliipanda.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki