6 Na sasa amuru kwamba wanikatie mierezi kutoka Lebanoni;+ na watumishi wangu watakuwa pamoja na watumishi wako, nami nitakupa mishahara ya watumishi wako kulingana na yote utakayosema, kwa maana wewe mwenyewe unajua vema kwamba sisi hatuna yeyote anayejua kukata miti kama Wasidoni.”+
20 Na kile chumba cha ndani kabisa kilikuwa na urefu wa mikono 20, na upana wa mikono 20,+ na kimo cha mikono 20; naye akakifunika kwa dhahabu safi,+ na kuifunika madhabahu+ kwa mbao za mwerezi.
8 Nawe uniletee mierezi,+ miberoshi+ na misandali+ kutoka Lebanoni,+ kwa maana mimi najua vema kwamba watumishi wako wana uzoefu wa kukata miti ya Lebanoni,+ (na, tazama, watumishi wangu wako pamoja na watumishi wako,)