7 Nao wakawapa pesa+ wachongaji+ wa mawe na mafundi,+ na kuwapa Wasidoni+ na Watiro+ vyakula+ na vinywaji na mafuta,+ ili walete miti ya mierezi kutoka Lebanoni+ mpaka kwenye bahari iliyoko Yopa,+ kulingana na ruhusa waliyopewa na Koreshi+ mfalme wa Uajemi.