8 Mfalme na ajue kwamba tulienda katika wilaya ya utawala+ ya Yuda kwenye nyumba ya yule Mungu mkuu,+ nayo inajengwa kwa mawe yaliyowekwa kwa kuviringishwa, na mbao zinawekwa katika kuta; na kazi hiyo inafanywa kwa bidii na inafanya maendeleo mikononi mwao.