3 Na hawa ndio vichwa vya wilaya ya utawala+ ambao walikaa Yerusalemu;+ lakini katika majiji ya Yuda walikaa Israeli,+ makuhani+ na Walawi,+ na Wanethini+ na wana wa watumishi wa Sulemani,+ kila mmoja katika urithi wake, katika majiji yao.+
1Basi ikatokea katika siku za Ahasuero,+ yaani, yule Ahasuero aliyekuwa akitawala akiwa mfalme kutoka India mpaka Ethiopia, juu ya wilaya za utawala 127,+