Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Hapo mwanzo+ Mungu+ aliumba+ mbingu na dunia.+

  • Kumbukumbu la Torati 10:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa maana Yehova Mungu wenu ni Mungu wa miungu+ na Bwana wa mabwana,+ Mungu mkuu, mwenye nguvu na mwenye kuogopesha,+ asiyemtendea yeyote kwa upendeleo+ wala kukubali rushwa,+

  • Kumbukumbu la Torati 32:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kwa maana mwamba wao si kama Mwamba wetu,+

      Hata ikiwa adui zetu ndio wangeamua.+

  • Ezra 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Yeyote aliye katikati yenu ninyi watu wake wote, Mungu wake na awe pamoja naye.+ Basi na apande na kwenda Yerusalemu, huko Yuda, na kuijenga upya nyumba ya Yehova Mungu wa Israeli—yeye ndiye Mungu wa kweli+—iliyokuwa Yerusalemu.+

  • Zaburi 145:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Yehova ni mkuu na wa kusifiwa sana,+

      Na ukuu wake hauchunguziki.+

  • Danieli 2:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Mfalme akamwambia Danieli: “Kwa kweli Mungu wenu ni Mungu wa miungu+ na Bwana wa wafalme+ na Mfunuaji wa siri, kwa sababu uliweza kufunua siri hii.”+

  • Danieli 4:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 “Na mwishoni mwa siku zile,+ mimi, Nebukadneza, niliinua macho yangu juu kuelekea mbinguni,+ ndipo uelewaji wangu ukaanza kurudi kwangu; nami nikambariki Aliye Juu Zaidi,+ nami nikamsifu na kumtukuza Yeye anayeishi mpaka wakati usio na kipimo,+ kwa maana utawala wake ni utawala wa mpaka wakati usio na kipimo na ufalme wake ni wa kizazi baada ya kizazi.+

  • Danieli 6:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Agizo+ limetoka kwangu kwamba, katika kila mamlaka ya ufalme wangu, watu wawe wakitetemeka na kuogopa mbele za Mungu wa Danieli.+ Kwa maana yeye ni Mungu aliye hai na Yeye anaishi mpaka wakati usio na kipimo,+ na ufalme wake+ ni ufalme ambao hautaharibiwa kamwe,+ na mamlaka yake ni ya milele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki