2 Wafalme 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na zile pesa ambazo zilikuwa zimehesabiwa, wakaziweka mikononi mwa wafanyakazi+ waliowekwa kwenye nyumba ya Yehova. Wao nao wakazilipa kwa wafanyakazi wa mbao na kwa wajenzi waliokuwa wakifanya kazi katika nyumba ya Yehova, 2 Wafalme 22:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Nenda kwa Hilkia+ kuhani mkuu,+ naye ajumlishe pesa+ zinazoletwa katika nyumba ya Yehova+ ambazo watunza-milango+ wamekusanya kutoka kwa watu;
11 Na zile pesa ambazo zilikuwa zimehesabiwa, wakaziweka mikononi mwa wafanyakazi+ waliowekwa kwenye nyumba ya Yehova. Wao nao wakazilipa kwa wafanyakazi wa mbao na kwa wajenzi waliokuwa wakifanya kazi katika nyumba ya Yehova,
4 “Nenda kwa Hilkia+ kuhani mkuu,+ naye ajumlishe pesa+ zinazoletwa katika nyumba ya Yehova+ ambazo watunza-milango+ wamekusanya kutoka kwa watu;