12 Kisha mfalme na Yehoyada wakawa wakiwapa waliokuwa wakifanya+ kazi katika utumishi wa nyumba ya Yehova,+ nao wakaandika wachongaji wa mawe+ na mafundi+ ili kuirekebisha nyumba ya Yehova,+ na pia wafanyakazi wa chuma na shaba ili kuirekebisha nyumba ya Yehova.+