Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 10:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Naye Kanaani akamzaa Sidoni,+ mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi+

  • Waamuzi 1:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Asheri+ hakuwafukuza wakaaji wa Ako na wakaaji wa Sidoni+ na Alabu na Akzibu+ na Helba na Afiki+ na Rehobu.+

  • 1 Wafalme 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na sasa amuru kwamba wanikatie mierezi kutoka Lebanoni;+ na watumishi wangu watakuwa pamoja na watumishi wako, nami nitakupa mishahara ya watumishi wako kulingana na yote utakayosema, kwa maana wewe mwenyewe unajua vema kwamba sisi hatuna yeyote anayejua kukata miti kama Wasidoni.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki